TANZANIA YAENDELEA KUPATA NEEMA KUPITIA UTALII BARA LA AFRIKA,

-Mkutano ujao wa UNWTO kwa Bara la afrika kufanyika Tanzania Na Mwandishi Wetu, Windhoek, Namibia. UJUMBE wa Tanzania ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damasi Ndumbaro ambao upo mjini hapa kuhudhuria mkutano wa siku tatu wa Umoja wa Mataifa unaoshughulikia masuala ya Utalii Duniani [UNWTO], ambao ni mahususi kwa nchi za Kiafrika kueweza